Mbunge wa Monduli Julius Laizer Kalanga (Chadema) akiwa na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013