Kiungo mshambuliaji wa Yanga Simon Msuva akiangushwa na kipa wa Etoile du Sahel na kuipatia Yanga penati iliyowapa goli pekee
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013