Mkurugenzi mkuu wa tume ya taifa ya sayansi na teknolojia, Dkt Hassan Mshinda (kushoto), akiwa na afisa habari wa tume hiyo Theophil Pima (katikati) wakiwa katika mahojiano na baadhi ya waandishi wa habari hivi karibuni.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.