Bondia Francis Miyeyusho 'chichi mawe'.

4 Jul . 2016

Tyson Fury akiwa amepumzika akionyesha eneo la mguu lililoumia.

24 Jun . 2016

Hussein Itaba akijifua tayari kumkabili Tamba jumamosi.

16 Jun . 2016

Bondia Thomas Mashali akiwa na moja ya mikanda aliyotwaa.

14 Jun . 2016

Mohamed Ally enzi za upiganaji wake akiwa amemwangusha mmoja wa wapinzani wake wakati huo.

5 Jun . 2016

Cosmas Cheka akivishwa mkanda wa WBF alioutwa hivi karibuni.

3 Jun . 2016

Mabondia Thomas Mashali [kulia] na Francis Miyeyusho wakiwa katika mazoezi ya pamoja.

16 Mei . 2016

Afisa Michezo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Adolf Halii akimvisha mkanda wa UBO Bondia Thomas Mashali kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

15 Mei . 2016

Bondia Said Mbelwa akijifua kujiandaa na mpambano wake dhidi ya Ibrahim Tamba.

14 Mar . 2016

Waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo Nape Nnauye akimkabidhi cheti bondia Francis Cheka.

4 Mar . 2016

Francis Cheka akiwa amebebwa na mashabiki mara baada ya kutangazwa mshindi.

1 Mar . 2016

Bondia Francis Cheka akiwa amebebwa juu juu mara baada ya kutangazwa mshindi na kutwaa mkanda wa mabara wa WBF.

29 Feb . 2016

Mayweather kushoto akimsukumia konde Pacquiao katika mpambano wao alfajili ya hii leo

3 Mei . 2015