Mfungaji pekee wa bao la Yanga hii leo Donald Ngoma akishangilia bao lake.
Kikosi cha Yanga kilichoivaa Simba wiki tatu zilizopita ndiyo kimeivaa APR hii leo.
Moze & Radio watua nchini Rwanda Kigali
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo
Picha ya Mzee Onyango
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.