Bendera ya Tanzania ikipepea uwanjani wakati wa ufunguzi wa michuano ya madola.
Rais Jakaya Kikwete akiwa na baadhi ya viongozi pamoja wachezaji wa Tanzania watakaoshiriki michuano ya madola.
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Pro Joyce Ndalichako
Mechi ya Simba na Mbeya City wakati ikielekea kuanza
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Prof. Joyce Ndalichako.