Mkuu wa Kitengo cha fedha cha Exim Bank Bw. Selemani Ponda (kushoto) akifafanua jambo katika mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam. Kulia kushoto kwake ni Naibu Mkuu wa Fedha Bw. Issa Hamisi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016