Cristiano Ronaldo akiruka juu kuifungia Ureno goli la kwanza.
Ratiba ya nusu fainali Euro 2016.
Moja ya hekaheka katika lango la Ubelgiji wakati wakishambuliawa na Wales.
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam