mtangazaji maarufu wa kipindi cha Nirvana cha EATV Deogratius Kithama akiwa na tuzo ya SFW
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.