Mwadini Ally wa Azam na Hussein Sharrif 'Casillas Munyama' wa Mtibwa Sugar. Hawa ni baadhi ya makipa wanaofanya mazoezi yao Kinondoni.
Mpanzua na viongozi wa Simba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka