Nimezaliwa mwaka 1995 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 4 kaka SINA, dada NDIYO NINAE
Ninaishi BOKO MALIASILI
Mtaani kwangu najulikana kwa JINA LA SOJEY D
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA (&)
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) SINA SHUGHULI YOYOTE ZAIDI YA DANSI