
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Taarifa hiyo imetolewa leo Agosti 14, 2021 na kuongeza kuwa kufuataia utaratibu uliowekwa na ofisi hiyo hivyo wabunge wanasisitizwa kutumia hiari kujitokeza kupata chanjo kwa ajili ya kujikinga wao na wale wanaowazunguka.