Bendera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Majina hayo ya Wabunge walioteuliwa katika awamu ya pili, yametolewa hii leo Agosti 12, 2020, kupitia ukurasa wa mtandao wa Twitter wa chama hicho.
Tazama hapa chini orodha ya majina ya wagombea wa Ubunge walioteuliwa.