
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango.
Ibada hiyo ya kuagwa kitaifa, imeongozwa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, na kuhudhuriwa na Wakenya, viongozi wa nchi hiyo pamoja na viongozi wa nchi kutoka mataifa mbalimbali akiwemo Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini na Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde.
Mwai Kibaki, alifariki dunia Aprili 22, 2022 akiwa na umri wa miaka 90.