Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu
Lissu ametoa kauli hiyo hii leo Juni 7, 2022, wakati akizungumza kwenye #EATVSaa1 moja kwa moja kutoka nchini Ubelgiji, licha ya kutotaja tarehe rasmi, amesema kauli ya serikali juu yao ni nzuri hivyo yeye na wenzake watawasiliana na viongozi wao,pamoja na familia zao ili kuona wanarudije n yumbani.
"Siwezi kusema tarehe sasa hivi lakini angalau serikali imesema wazi kwamba tutakuwa salama, na kwahiyo sasa tunaanza taratibu za kurehea nyumbani,"amesema Lissu.