Mabeste
Mabeste ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha eNewz cha EATV kinachoruka kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12: 00 hadi 12 : 30.
Mabeste amesema kuwa "Mimi siwezi kuchanganya mambo ya kawaida yakaja kwenye mziki wangu, unajua ukichukua hali ya faragha kati ya mke na mume ambatyo yalikuwa ni siri kati yenu nyinyi wawili, siwezi nikayaweka kwenye beti za nyimbo."
Tazama video kamili hapo chini.
Baada ya Rapper Stamina kuumizwa na mapenzi nakuamua kumchana Mke wake, Rapper Mabeste ambaye naye kamwagana na aliyekuwa Mke wake, Kazungumzia issue hiyo kwa kumshangaa sana Stamina#eNewz pic.twitter.com/ncG12DMBGv
— East Africa TV (@eastafricatv) January 14, 2020