
Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Fortunatus Musilimu.
Taarifa hiyo imetolewa leo Agosti 24, 2021, na Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Fortunatus Musilimu, na kusema kwamba mabati hayo yalikuwa yamehifadhiwa kwenye stoo ya halmashauri hiyo na katika wizi huo hakuna kufuli wala mlango uliovunjwa.
Video hapa chini