Akizungumza na #EATV mama mzazi wa mtoto huyo jina linahifadhiwa amethibitisha kulawitiwa kwa mtoto wake mara baada ya kupeleka hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwananyamala na kufanyiwa vipimo
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mpakani kata ya Ndugumbi Musa Mwingwa amesema kwamba mtuhumiwa amekuwa akifanya matukio hayo mara kwa mara na kutoweka








