
Mama wa marehemu Amina
Marehemu anadaiwa kufanyiwa kitendo hicho Oktoba 20 mwaka huu, na mwalimu aliyafahamika kwa jina la Masumbuko, na kwamba amefariki dunia jana Desemba 20, 2022, wakati alipokuwa akiendelea kupatiwa matibabu.
Juma Hassan ni ndugu wa marehemu ambapo pamoja na mambo mengine akaeleza uchugunzi uliofanywa na madaktari ambapo umebaini kwamba mishipa ya pua ilikuwa imekatika hali iliyopelekea kuvuja damu muda wote, huku akitoa ombi kwa serikali.
Tazama video hapa chini