Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa
Taarifa hiyo imetolewa leo Juni 26, 2022, jijini Dodoma na Waziri Bashungwa, wakati akaitangaza matokeo ya ajira 9,800 za walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na na nafasi 7,612 za wataalam wa afya.
"Kada hizi zitarudiwa kutangazwa ili kupata waombaji wenye sifa watakaojaza nafasi hizi," imeeleza taarifa ya Waziri Bashungwa