Lazaro Nyalandu, Mwenyekiti Kanda ya Kati,CHADEMA.
Matokeo hayo yametangazwa na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa chama hicho Patrick Sosopi, ambapo amesema kuwa Nyalandu amemzidi kete aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda hiyo Alphonce Mbasa, ambaye amepigiwa Kura 26, ambazo ni sawa na asilimia 33.2.
Kwa mujibu wa Sosopi, Kura zilizopigwa ni 86 na hakuna iliyoharibika.