Joram MacDonald Gumbo
Gumbo ametolewa kwenye wizara hiyo kufuatia kuendelea kukumbwa na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara, tangu mwaka 2016.
Nafasi ya Gumbo imechukuliwa na aliyekuwa Naibu waziri wa Usafirishaji na Maendeleo ya Miundombinu, Fortune Chasi.
Aidha Joram MacDonald Gumbo amehamishiwa Ofisi ya Rais, Mahusiano, Mipango na Usimamizi.