
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Songwe, George Kyando.
Kamanda wa Polisi Kyando ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari, mkoani Songwe kuelekea msimu huu wa Sikukuu za Krismasi na mwaka mpya.
"Msimu huu wa sikukuu mtu yeyote atakaye kunywa pombe kupindukia atashughulikiwa Kama wahalifu wengine na kupelekwa mahakamani."
Kesho Disemba 25, 2019 waumini wa Dini ya Kikiristo Dunia nzima wanatarajiwa kuazimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo