
Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja Shirika la Posta Sumbawanga limeeleza faida waliyoipata kwa watoto wenye mahitaji maalum.
Shule Maalum ya Msingi Malamngali inahudumia zaidi ya watoto 90 wenye mahitaji maalum lakini ufinyu wa bajeti unaelezwa kuwa kikwazo Katika kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalum wanayafikia malengo yao.