
Mkuu wa mkoa wa Geita Rosemary Senyamule
Senyamule ametoa maagizo hayo wakati anakagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika halmashauri ya mji wa Geita, ambapo amekuta vifaa vinavyobaki baada ya ujenzi kukamilika ni mara mbili ya vifaa vilivyotumika.