
Kamanda wa Polisi wilaya ya Kisarawe, Eva Steshen
Kauli hiyo imetolewa wakati wa ziara iliyofanywa na kamati ya UKIMWI iliyobaini kuwepo kwa madanguro na madiwani wa halmashauri ya wilaya hiyo wakasema hawatowafukuza bali wamewawekea mpango wa kuwapatia elimu ya ujasiriamali wasichana hao pamoja na kuwapatia mikopo kama mitaji itakayowawezesha kuachana na vitendo vya ukahaba.