
Wakati serikali ikipambana kuahakikishwa kwamba wananchi wanaoishi wa vijijini wanapata umeme, imeelezwa kuwa mkandarasi anayetekeleza mradi wa umeme katika wilaya ya Tandahimba na Newala, central internation l.t.d ameshindwa kukamilisha mradi kwa wakati ambapo wajumbe wa kikao hicho wamedai kutokuwa na Imani mkandarasi huyo.
Uzinduzi wa REA awamu ya kwanza mzunguko wa tatu, Mkoani Mtwara, mwaka jana katika Kijiji cha Namtumbuka halmashauri ya mjini Nanyumba na kuhudhuliwa na aliyekuwa Waziri wa Nishati Medard Kalemani