Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof. Peter Msola akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mwatasi katika kata ya Bomalang'ombe katika jimbo la Kilolo.

Mizoga ya Tembo 13 waliouawa na kung'olewa meno na majangili katika pori la Akiba la Piti kata ya Ngwara wilayani Chunya mkoani Mbeya

MBUNGE wa Jimbo la Arsuha Mjini, Godbless Lema,amesitisha maandamano ya kuishinikiza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),kuongeza muda.
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo akiwa ametembelea soko la Masasi lilitoeketea kwa moto.
Afisa kilimo kutoka TAHA Lota Simon akiwa na ujumbe wa wakulima kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha walipotembelea shamba la mkulima mmoja katika eneo la Olasit

Mnyama aina ya Fisi ambae anasadikiwa kuwaua watoto wawili Mkoani Dodoma.