
LeBron James akishangilia dhidi ya Indiana Pacers.
Mchezaji chipukizi Isack Daudi kutoka Klabu ya Gofu ya Lugalo akikabidhiwa kombe na Naibu Katibu Mkuu Dkt. Ally Possi baada ya kuibuka mshindi wa jumla mashindano ya Golfu ya NBC Tanzania Open 2021 jijini Dar es Salaam.Katika mashindano hayo mchezaji chipukizi Isack Daudi kutoka Klabu ya Gofu ya Lugalo ameibuka kuwa mshindi wa jumla wa mashindano ya mwaka 2021.

Balozi wa zao la pamba nchini Aggrey Mwanri.

Kocha mkuu wa Mtibwa Sugar (Kushoto) akiteta jambo na msaidizi wake Awadh Issa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu

Sehemu ya Korosho zilizokamatwa

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara (kulia) akifanya mahojiano na Mwandishi wa East Africa TV Dotto Kadoshi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, na kulia ni Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa