
Picha ya msanii Babalevo, Alikiba na Diamond Platnumz
Babalevo anasema wasanii hao wametambia kwa muda mrefu hivyo ni muda wa kutengeneza pesa hivyo wapambane mkoa kwa mkoa pia itakuwa fursa ya wasanii wengine kupata pesa.
Mengine zaidi bonyeza hapa kutazama.