Picha ya aliyekuwa mtangazaji wa Lovers Rock ya East Africa Radio
Rafiki wa karibu na marehemu Baba T, Gota Irie amesema taarifa zaidi kuhusu taratibu za mazishi zitatolewa kwa sasa wanasubiriwa ndugu zake kutoka nje ya nchi.
Zaidi msikie hapa akizungumzia chanzo cha kifo cha Baba T.