
msanii wa miondoko ya bongofleva nchini Gozby
Gozby amesema kuwa, kupandisha bei ya kazi yake hiyo kutamfanya mnunuzi kusikia uchungu wa kumpatia mtu mwingine bure, na vilevile hatua hiyo ameichukua maalum kwaajili ya kufidia gharama kubwa alizotumia kuitengeneza.
