Jumatatu , 30th Aug , 2021

CEO wa Kondegang Music Worldwide Harmonize amesema kutokana na ukubwa alionao  kwa sasa akiachia ngoma zake video au audio 'views' wanastuck kuhesabu kwenye mtandao wa Youtube.

Picha ya msanii Harmonize

Harmonize ameshea hilo kwenye Insta story yake baada ya kuachia kazi yake inayokwenda kwa jina la teacher.

"God is good, imefika wakati Konde boy akiachia ngoma hadi Youtube yenyewe inashangaa hiki nini na kustuck kuhesabu acha tuone kinatokea nini maana sijawahi kuona" ameandika Harmonize