Jumatatu , 18th Mar , 2024

Kwa mujibu wa Konde Boy Harmonize anasema yeye sio msanii wa BongoFleva bali ni shabiki namba 1 wa muziki huo.

Picha ya mwanamuziki Harmonize

Harmonize ameshea hilo kupitia 'Insta Story' akitaja na nyimbo zake 3 bora kabisa zilizotoka 2024 ambazo ni Dharau ya Ibraah, Daah Nandy na Mapoz ya Diamond Platnumz.

Zipi nyimbo zako bora ambazo zimeshatoka mpaka sasa 2024.