Picha ya msanii Rick Ross
Kabla ya ujio wa album yake hiyo Rozay amesema ataachia ngoma mbili mfululizo wiki kadhaa zijazo kuanzia sasa.
Endapo atafanikiwa kuachia ‘Richer Than I've Ever Been’ basi itakuwa ni album ya 11 kwa Rozay baada ya ‘Port of Miami’ ya mwezi Agosti 2019.
