Picha ya msanii Nay wa Mitego
"Mimi ni rais wa kweli wa kitaa. Wananchi wanatambua mimi ndio mwakilishi wao, msemaji wao na wanakubali. Unaweza ukaimba sana, ukatoa Hits song lakini mwisho wa siku jukwaani wanakupokeaje".
Nay wa Mitego amesema hayo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio kila siku ya J3 mpaka Ijuma kuanzia saa 7:00 mchana mpaka saa 12:00 jioni.