Dorah ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwene kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kila siku ya Jumatano kuanzia saa 8 : 30 Mchana, kwenye kurasa za Facebook na YouTube ya East Africa TV.
''Nina miaka 24, mimi ni bikra, sijui kabisa mambo ya mapenzi, mpenzi wangu anaitwa Edson, tupo kwenye mahusiano mwaka wa tano sasa, lakini hatujawahi kukutana kimwili" amesema Dorah.
"Sijawahi kutishiwa kuachwa kwenye mapenzi ila mimi huwa namtisha kila mara mpenzi wangu" amesema Dorah.
Tazama mahojiano kamili.