
Jacky alikuwa na ndoto ya kuvunja rekodi ya Guinness.
Katikati ya mwezi Januari, Jacky alitangaza atakimbia maili 2620 kila siku kwa siku 100 ili kuvunja rekodi ya Guinness.
Jacky kwa sasa anasubiria rekodi ya itambuliwe rasmi na kitabu cha Guinness.