Kwa mara ya kwanza kabisa Kampeni ya Namthamini Nasimama Naye wamemtambulisha Rasmi muigizaji wa filamu Othman Njaidi kama balozi wa kampeni hiyo na hapa amepata wasaa wakuzungumza na wadogo zake kutoka ya Mandera Girls SecSchool iliyoko Msata mkoani Pwani




