Rais Magufuli
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo wakati akitoa salamu baada ya kushiriki kwenye Kanisa la KKKT Chato, mkoani Geita, ambapo atafikia uamuzi wa kurejesha michezo kwa kuwa michezo ni burudani kwa Watanzania.
Rais Magufuli amesema kuwa "kwa trendi hii ninavyoiona kama wiki hii inayoabnza kesho hali itaendelea kupungua nimepanga kufungua Vyuo ili wanafunzi waendelee kusoma, lakini pia tumepanga kuruhusu michezo iendelee."
#HABARI Rais @MagufuliJP amesema kuanzia wiki ijayo kama maambukizi ya Corona itaendelea kupungua, atafikiria kufungua Vyuo na kuruhusu michezo iendelee.#SalamuZaMagufuli pic.twitter.com/b4Z6T0gMCW
— eastafricatv (@eastafricatv) May 17, 2020
Tazama video kamili hapo chini