Jumamosi , 5th Oct , 2019

Mshambuliaji Kelvin John wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, ameibuka mchezaji bora wa mashindano na mfungaji bora, akiwa amefunga goli 7 kwenye mashindano ya CECAFA U20.

Akizungumza baada ya mchezo wa fainali ambapo Tanzania U20 imeifunga Kenya U20 goli 1-0, Kelvin amesema kocha Zuberi Katwila alilkuwa anawaanda vizuri kwenye kila mechi.

Aidha Kelvina ameweka wazi kuwa anampenda nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta kwasababu amefanikiwa na yeye anatamani kuwa kama yeye.

Zaidi Tazama Video hapa chini