Paul Pogba kushoto na Jose Mourinho
Kupitia mtandao wa Twitter Pogba ameweka picha iliyoambtana na ujumbe unaotaka wafuasi wake kuweka maoni yao juu ya picha hiyo. Hata hivyo Pogba aliifuta picha hiyo baada ya muda mfupi.
Naye mkongwe wa klabu hiyo ambaye pia ni kocha, Gary Neville ameunga mkono ujumbe wa Pogba kwa kuuandika na kuweka kwenye ukurasa wake.
“ Caption This “
You do one as well !
— Gary Neville (@GNev2) December 18, 2018
Vyanzo mbalimbali pia vinataja makocha kadhaa ambao wanaweza kuchukua nafasi ya Mourinho mwisho wa msimu huu baada ya klabu kuweka wazi kuwa kocha wa muda atakayetangazwa ndani ya saa 48 atadumu hadi mwisho wa msimu.
The thing that is annoying me the most right now is why are people so focused on @paulpogba and Jose Mourinho. Let's focus on rebuilding something solid instead of being in a playground. Doing this is only disrespecting the badge, from now we only need positivity. #ManUtd #MUFC pic.twitter.com/ClmWqmgf7G
— Patrice Evra (@Evra) December 18, 2018