
David Moyes
Kisa hicho kilitokea baada ya mwamuzi kuinyima Sunderland mkwaju wa penalti katika dakika ya 90 ya mechi ya Jumatano wiki iliyopita ambapo klabu hiyo ilishindwa 1-0 na Southampton katika Kombe la FA.
Baada ya mechi hiyo, Moyes alisema tatizo lilitokea alipoandamwa hadi pahala alipokuwa amesimama, hivyo alitumia lugha ya matusi.