
Katika taarifa yake, Tegete amesema, baada ya mazoezi ya wiki iliyopita wanatarajia kufanya mchujo wa wachezaji katika kikosi hicho kwa kukusanya wachezaji wenye uwezo.
Tegete amesema, wapo wachezaji wengi kwenye kikosi hicho ambao walikuwa katika majaribio hivyo wanahitaji kuwafanyia mchujo baada ya kuona viwango vyao.