Khamis Mcha Viali
Baba huyo wa kiungo wa Azam FC na Timu ya Taifa Stars, Khamis Mcha Viali amefariki dunia jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Enzi za uhai wake, Mcha alichezea Klabu za KMKM na Miembeni pamoja na Timu ya Taifa ya Zanzibar.