
Picha ya Mchezaji Peter Banda na Luis Miquissone
Banda alijiunga na wekundu wa Msimbazi mwezi Agosti 3 mwaka huu akitokea Nyasa Big Bullets ya nchini Malawi kwa mkataba wa miaka mitatu.
Mabingwa hao wa Tanzania hivi sasa wapo nchini Morocco ambako wameweka kambi yao kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya ujao.