
Kwa wale wanafunzi wa walioomba kwa kupitia njia ya Diploma, wameambiwa waendelee kusubiri ndani ya siku 3 na majibu yao yatatolewa
Nafasi za vyuo Tanzania ni nyingi kuliko wanafunzi waliiomba, hivyo wameshauriwa kuzingatia vigezo kama vinaruhusu na pia wachague kozi zisizo na ushindani mkubwa