
Mbunge wa jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima
Akizungumza hapo jana kanisani kwake, Askofu Gwajima alisema kwamba akifika kwenye kamati hiyo atasimamia ukweli kama ambavyo imani yake inamtuma.
Licha ya Spika Ndugai kutoa taarifa hiyo, lakini hakuweka bayana tuhuma hizo mbalimbali zinazomkabili Askofu Josephat Gwajima.