
Sehemu ya baa iliyoungua
Mashuhuda wa moto huo wamesema kwamba moto umeanzia ndani na tayari Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wamefanikisha kuuzima moto huo na hakuna madhara kwa binadamu yaliyojitokeza.
Baa ya Star Break iliyopo Manzese jijini Dar es Salaam imeungua kwa moto hii leo Agosti 22, 2022, majira ya saa 2:00 asubuhi.
Sehemu ya baa iliyoungua
Mashuhuda wa moto huo wamesema kwamba moto umeanzia ndani na tayari Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wamefanikisha kuuzima moto huo na hakuna madhara kwa binadamu yaliyojitokeza.