CHADEMA wataja walichoteta na Rais Samia Ikulu

Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetaja mambo kumi waliyoyafikisha katika kikao walichoshiriki wiki iliyopita kilichoongozwa na Rais Samia Suluhu na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM na CHADEMA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS